Mathayo 24:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192137 Lakini kama vile ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo na kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Kwa maana kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Kwa maana kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Kwa maana kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Kama ilivyokuwa wakati wa Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Kama ilivyokuwa wakati wa Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. Tazama sura |