Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 24:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Bassi mlionapo chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama mahali patakatifu (asomae afahamu),

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 “Basi, mtakapoona ‘Chukizo Haribifu lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na atambue maana yake),

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 “Basi, mtakapoona ‘Chukizo Haribifu lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na atambue maana yake),

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 “Basi, mtakapoona ‘Chukizo Haribifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na atambue maana yake),

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 “Hivyo mtakapoona lile ‘chukizo la uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu (asomaye na afahamu),

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 “Hivyo mtakapoona lile ‘chukizo la uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu (asomaye na afahamu),

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:15
19 Marejeleo ya Msalaba  

ndipo walio katika Yahudi wakimbilie milimani;


Lakini mlionapo chukizo la uharibifu (lile lililoneuwa ua nabii Danieli) likisimama pasipolipasa (asomae na afahamu) ndipo walio katika Yahudi wakimbilie milimani;


Kwa maana siku zitakujilia, adui zako watakapokujengea boma; watakuzunguka, watakudhiikisha pande zote;


Lakini, mtakapoona Yerusalemi unazungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kuwa uharibifu wake umekaribia.


Tukimwacha hivi, watu wote watamwamini: na Warumi watakuja, wataondoa mahali petu na taifa letu.


Huyu ndiye mtu yule afundishae watu katika killa mahali kinyume cha taifa letu na torati na pahali hapa. Tena, zaidi ya haya, amewaingiza Wayunani katika hekalu, akapatia najis pahali hapa palakatifu.


Wakasimamisha mashahidi wa uwongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati:


KWA hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi yaliyasikiwa tusije tukayakosa.


Yu kheri asomae, nao wayasikiao maneno ya unabii huu na kuyafanya yaliyoandikwa humo: maana wakati ni karibu.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo