Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Lakini astahimiliye hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtakuwa mkichukiwa na watu wole kwa ajili ya jina langu: lakini adumuye hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.


Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, pendo la watu wengi litapoa.


Na mtasikia khabari za vita na uvumi wa vita: angalieni, msitishwe: maana haya hayana buddi kuwa; lakini mwisho wenyewe hado.


Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kustahimili hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.


Kwa subira yenu mtazipata robo zenu.


Nazo penye udongo mwema, hawa ndio ambao kwamba kwa moyo mzuri na mwema hulisikia neno, wakalishika, wakazaa kwa saburi.


wale ambao kwa kustahimili katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoa kuharibika, nzima wa milele;


na yeye atawathubutisheni hatta mwisho, msilaumiwe siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.


Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali miongoni mwao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.


Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti wetu mpaka mwisho;


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba yake; ambae nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na kujisifu kwetu, kwa kutumaini mpaka mwisho.


Usiogope mambo yatakavokupata: tazama mshitaki atawatupa baadhi yenu gerezani illi mjaribiwe, nanyi mtakuwa na mateso siku kumi. Uwe mwaminifu hatta kufa, nami nitakupa taji ya uzima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo