Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Na manabii wengi wa uwongo wataondoka, watadanganya wengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Watatokea manabii wengi wa uongo, nao watawadanganya watu wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Watatokea manabii wengi wa uongo, nao watawadanganya watu wengi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, pendo la watu wengi litapoa.


Kwa maana wataondoka Makristo ya uwongo, na manabii ya uwongo, nao watafanyiza ishara kubwa ua mataajabu; wapate kuwadanganya, kama yumkini, hatta wateule.


Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ni Kristo; na watadanganya wengi.


Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa wa mwitu wakali.


kwa maana wataondoka Makristo wa nwongo, na manabii wa uwongo, watatoa ishara na ajabu, wapate kuwadanganya, kama yumkini, hatta wale wateule.


tena katika baadhi yenu wataondoka watu, wakisema mapotofu, wawavute wanafunzi kwenda nyuma yao.


ROHO yanena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho watu watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani,


LAKINI kuliondoka manabii wa uwongo katika watu, kama vile kwenu kutakavyokuwa waalimu wa uwongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hatta Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu nsiokawia.


Watoto, ni wakati wa mwisho: na kama vile mlivyosikia kwamba adui wa Kristo yuaja, hatta sasa adui wengi wa Kristo wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.


Nimewaandikia haya katika khabari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.


WAPENZI, msiamini kiila rolio, bali zijaribuni roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uwongo wengi wametokea duniani.


Kwa maana kuna watu wamejiingiza kwa siri, watu walioandikiwa zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufasiki, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.


Yule nyama akakamatwa, na nabii wa uwongo aliye pamoja nae, yeye aliyezifanya ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile alama ya nyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa hayi katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo