Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 23:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Wala msimwite mtu baba yenu duniani: maana Baba yeuu yu mmoja, aliye mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba,’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msiitwe wakufunzi; maana mkufunzi wenu yu mmoja, ndiye Kristo.


Kwa maana haya yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji haya yote.


Kama ninyi, bassi, mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! si zaidi Baba yenu aliye mbinguni atawapa mema wamwombao?


ENYI wanaume, ndugu zangu ua baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea nafsi yangu mbele yemi sasa.


Maana mimi ndiye aliyewazaa katika Kristo Yesu kwa Injili.


Nami nitawakaribisheni, Nitakuwa Baba kwenu, Na ninyi mtakuwa kwangu wana na binti, anena Bwana Mwenyiezi.


Na pamoja na haya tulikuwa na baba za mwili wetu walioturudi, tukawastahi; bassi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi.


FAHAMUNI, ni pendo la nanma gani alilotupa Baba, kuitwa wana wa Mungu. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo