Mathayo 23:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Wala msimwite mtu baba yenu duniani: maana Baba yeuu yu mmoja, aliye mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba,’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Nanyi msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, kwa maana mnaye Baba mmoja, naye yuko mbinguni. Tazama sura |