Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 23:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:7
19 Marejeleo ya Msalaba  

Nitafananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wakikaa sokoni, wanaowaita wenzao,


Bali ninyi nisiitwe Rabbi; maana mwalimu wenu yu mmoja ndiye Kristo, na ninyi nyote ni ndugu.


Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabbi? Akamwambia, Wewe umesema.


Marra akamwendea Yesu, akasema, Salam, Rabbi, akambusu sana.


Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyieni? Yule kipofu akamwambia, Rabbi, nipate kuona tena.


Petro akakumbuka khabari yake, akamwabia, Rabbi, tazama, mtini ulioulaani umekauka.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jibadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Alipokuja, marra akamwendea, akasema, Rabbi, Rabbi; akambusu sana.


Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabbi, ni vizuri sisi kuwapo hapa: na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja eha Eliya.


Ole wenu, Mafarisayo, kwa sababu mwapenda kukaa mbele katika sunagogi na kusalimiwa masokoni.


Wakamwambia, Rabbi (tafsiri yake, Mwalimu), unakaa wapi? Akawaambia, Njoni muone.


Nathanaeli akajibu, akamwambia, Rabbi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe mfalme wa Israeli.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabbi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga mawe, nawe unakweuda huko tena?


Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, Rabboni (tafsiri yake Mwalimu).


huyu alikuja kwa Yesu usiku, akamwambia, Rabbi, twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezae kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, illa Mungu awe pamoja nae.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabbi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ngʼambu ya Yardani, uliyemshuhudia wewe, huyu nae anabatiza, na watu wote wanamwendea.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabbi, ule.


Hatta walipomwona ngʼambu ya bahari, wakamwambia, Rabbi, umekuja lini hapa?


Wanafunzi wake wakamwuliza, wakinena, Rabbi, ni nani aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hatta akazaliwa kipofu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo