Mathayo 23:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: ‘Mwalimu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Mwalimu.’ Tazama sura |