Mathayo 23:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192139 Kwa maana nawaambieni, Hamtaniona kamwe tangu leo, hatta mtakaposema, Ameharikiwa ajae kwa jina la Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Nakuambia, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: ‘Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Nakuambia, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: ‘Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Nakuambia, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: ‘Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Kwa maana nawaambia, hamtaniona tena tangu sasa hadi mtakaposema, ‘Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu.’” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Kwa maana nawaambia, hamtaniona tena tangu sasa mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana Mwenyezi Mungu.’ ” Tazama sura |