Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 23:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Bassi yeye aapae kwa madhbahu, yuapa kwayo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Basi, mtu anayeapa kwa madhabahu, anaapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa hiyo, mtu aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wapumbavu ninyi na vipofu; maana ipi kubwa, ile sadaka, au ile madhbahu iitakasayo sadaka?


Nae aapae kwa hekalu, yuapa kwalo, na kwa yeye akaae ndani yake.


Maana wana Adamu humwapia yeye aliye mkuu: na ukomo wa mashindano yote ya maneno ni kiapo, kiyathubutishe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo