Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 23:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Na ye yote atakaejikuza, atadhiliwa; na ye yote atakaejidhili, atakuzwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa kuwa yeyote anayejikweza atashushwa, na yeyote anayejinyenyekeza atakwezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa kuwa yeyote anayejikweza atashushwa, na yeyote anayejinyenyekeza atakwezwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, ye yote anyenyekeae kama kitoto hiki, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.


Wa kheri walio maskini wa roho; maana ufalme wa mbinguni ni wao.


Kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Nawaambia ninyi, huyu alishuka nyumbani kwake amepata kibali kuliko yule: kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Lakini atupa sisi neema nyingi zaidi; kwa hiyo asema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neemi wanyenyekevu.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu kama mshipi, mpate kukhudumiana; kwa sababu Mungu hushindana na wenye kiburi, huwapa wanyenyekevu neema.


Bassi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, awakweze kwa wakati wake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo