Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Lakini hawakujali, wakaenda zao, mmoja shambani kwake, mmoja kwenye biashara yake:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Lakini hawakuzingatia, wakaenda zao: huyu shambani mwake na mwingine kwenye biashara zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Lakini hawakuzingatia, wakaenda zao: huyu shambani mwake na mwingine kwenye biashara zake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:5
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nae aliyepandwa penye miiba, huyu ndiye alisikiae lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno, likawa halizai.


Akatuma tena watumishi wengine, akinena, Waambieni wale walioalikwa, Tʼazameni nimeandaa karamu yangu: ngʼombe na vinono vimekwisha kuehinjwa, na vyote vimekuwa tayari, njoni arusini.


nao waliosalia wakawakamata watumishi wake, wakawatenda jeuri, wakawana.


akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, Yaondoem haya: msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara.


Wengine walidhihaki, wakisema, Wamelewa kwa mvinyo mpya.


Na Paolo alipokuwa akitoa hoja zake katika khabari ya haki na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akafanya khofu akajihu, Sasa enenda zako, nami nikipata wasaa nitakuita tena.


Au waudharau wingi wa wema wake na uvumilivu wake na kusubiri kwake, usijue ya kuwa wema wa Mungu wakuvutia toba?


Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti, bali nia ya roho ni uzima na amani.


makhaini, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko Mungu;


sisi je! tutapataje kujiponya, tusipotunza wokofu mkiju namna hii? ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kiisha nkathubutika kwetu na wale waliosikia;


Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa: hukumu yao tangu zamani haikawii, wala upotevu wao hausinzii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo