Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, wakakusanyika pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Isa alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Mafarisayo waliposikia kwamba Isa alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mafarisayo wakatoka wakamfanyia shauri la kumwangamiza.


Hatta akiona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, akawaambia, Uzao wa nyoka, nani aliyewaonya mkimbie ghadhabu ijayo?


Mwana sharia mmoja akasimama akimjaribu, akasema, Mwalimu, nifanyeni niurithi uzima wa milele?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo