Mathayo 22:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Tena katika khabari ya kiyama ya wafu, hamjaiisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, je, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? Aliwaambia, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, je, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? Aliwaambia, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, je, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? Aliwaambia, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia, kwamba, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia, kwamba, Tazama sura |