Mathayo 22:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192130 Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaozwi, bali huwa kama malaika wa Mungu mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama sura |