Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Akawatuma watumishi wake wawaite walioalikwa kuja arusini: nao hawakutaka kuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:3
30 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati wa matunda ulipokuwa karibu, akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wajiokee matunda yake.


Ee Yerusalemi, Yerusalemi, wenye kuwaua manabii, na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! marra ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja vifaranga vyake chini ya mbawa zake, wala hamkukubali!


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Yesu akawaambia, Wana wa arusi wawezaje kuomboleza, maadam Bwana arusi yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja atakapoondolewa bwana arusi; udipo watakapofunga.


Ee Yerusalemi, Yerusalemi, uwauae manabii na kuwapiga mawe wao waliotumwa kwako! marra ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako kama vile kuku avikusanyavyo vifaranga vyake chini ya mbawa zake, wala hanikutaka!


Akakasirika wala hakutaka kuingia: bassi, baba yake akatoka akamsihi.


Walakini wale adui zangu wasiotaka niwatawale, waleteni huku mkawachinje mhele zangu.


wala hamtaki kuja kwangu, mpate kuwa na uzima.


Bali Wayahudi, walipowaona makutano, wakajaa wivu, wakayabisha maneno yaliyonenwa na Paolo, wakibisha na kutukana.


Lakini kwa israeli asema, Mchana kutwa naliwanyoshea mikono watu wasiotii na ubishi.


Angalieni msimkatae yeye anenae. Maana ikiwa wale hawakuokoka waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya inchi, sembuse sisi tukijiepusha nae atuonyae kutoka mbinguni:


Na kwa sababu hii yu mjumbe wa agauo jipya, illi, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa ya katika agano la kwanza, walioitiwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.


Na Roho na Bibi arusi wasema, Njoo. Nae asikiae aseme, Njoo. Nae aliye na kiu, na aje: na apendae ayatwae maji ya uzima burre.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo