Mathayo 22:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Akawatuma watumishi wake wawaite walioalikwa kuja arusini: nao hawakutaka kuja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja. Tazama sura |