Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Bassi, kwetu palikuwa na ndugu saba; wa kwanza akaoa, akafariki, na kwa kuwa hana mzao, akamwachia ndugu yake nike wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

wakinena, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, nae hana watoto, ndugu yake amwoe mkewe, illi ampatie ndugu yake mzao.


Vivyo hivyo wa pili nae, na wa tatu, hatta wote saba.


Na jinsi watu wanavyowekewa kufa marra moja, na baada ya kufa hukumu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo