Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyemfanyia mwana wake arusi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Ufalme wa mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akawatolea mfano mwingine, akinena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake:


YESU akajibu, akawaambia tena kwa mifano, akinena,


na ninyi kama watu wanaomngojea bwana wao, atakapoondoka arusini, illi akija na kubisha, wamfungulie marra moja.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; maana naliwaposea mume mmoja, nimletee Kristo bikira safi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo