Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Nionyesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Nionesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akanena, Hutoa. Nae alipoingia nyumbani, Yesu akatangulia kumwuliza, akinena, Waonaje, Simon? Wafalme wa dunia hutwaa kodi ama ushuru kwa watu gani? kwa wana wao au kwa wageni?


Mtumishi yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyewiwa nae dinari mia; akamkamata, akamshika koo, akinena, Nilipe uwiwacho.


Na alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.


Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?


Akawaambia, Ya nani sanamu hii, na anwani hii?


Akawaambia, Ya nani sanamu hii na anwani hii?


Nikasikia sauti kati kati ya nyama wane wenye uhayi, ikisema, Kibaba cha nganu kwa nussu rupia, na vibaba vitatu vya shairi kwa nussu rupia, wala usiyadhuru mafuta na mvinyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo