Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 22:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafauya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Isa katika maneno yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Isa katika maneno yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mafarisayo wakatoka wakamfanyia shauri la kumwangamiza.


Nasema haya niwafaidie; si kwamba niwategee tanzi, bali kwa ajili ya vile vipendezavyo, na mpate kumkhudumia Bwana pasipo kuvutwa na mambo mengine.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyavumilia mapingamizi makuu namna hii ya wenye dhambi juu ya nafsi zao, msije mkadhoofika mkizimia mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo