Mathayo 22:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Alipoingia yule mfalme kuwatazama wageni, akaona mle mtu mmoja asiyevaa vazi la arusi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya harusi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya harusi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya harusi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Lakini mfalme alipoingia ndani ili kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Lakini mfalme alipoingia ndani ili kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi. Tazama sura |