Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Watu wengi katika makutano wakatandaza nguo zao njiani; wengine wakikata matawi ya miti, wakiyatandaza njiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Umati mkubwa wa watu wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kwenye miti, wakayatandaza barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Umati mkubwa wa watu ukatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakakata matawi kutoka kwenye miti, wakayatandaza barabarani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

wakamleta yule punda na mwana punda, wakaweka nguo zao juu yao, wakamketisha.


Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, wengine wakakata matawi ya miti na kuyatandaza njiani.


Nae alipokuwa akienda, wakatandaza nguo zao njiani.


wakatwaa matawi ya mitende wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana; Amebarikiwa ajiie kwa jina la Bwana, mfalme wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo