Mathayo 21:45 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192145 Makuhani wakuu na Mafarisayo, waliposikia mifano yake, wakatambua ya kuwa anawanena wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu45 Viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Isa, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu45 Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Isa, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao. Tazama sura |