Mathayo 21:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192143 Kwa sababu hii nawaambieni, ya kwamba ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, na watapewa taifa lingine wenye kuzaa matunda yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 “Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 “Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 “Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 “Kwa hiyo ninawaambia, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 “Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mwenyezi Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake. Tazama sura |