Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Haya yote yamepata kuwa, illi litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Haya yalitukia ili litimie neno lililonenwa na nabii, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na nabii, akisema:

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote yamekuwa, illi litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akinena,


Na kama mtu akiwaambieni neno, semeni, Bwana ana haja nao; na marra moja atawapeleka.


Lakini jambo hili lote limekuwa, illi maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.


Wakamletea Yesu yule mwana punda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.


Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya yule mwana punda wakampandisha Yesu.


Siku ya pili watu wengi walioijia siku kuu, waliposikia kwamba Yesu anakuja Yerusalemi,


Usiogope, binti Sayuni: angalia, Mfalme wako anakuja, ameketi juu ya mwana wa punda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo