Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: ‘Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: ‘Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: ‘Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 “Lakini wale wapangaji walipomwona mwanawe, wakasemezana wao kwa wao, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, ili tuchukue urithi wake.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 “Lakini wale wapangaji walipomwona mwanawe, wakasemezana wao kwa wao, ‘Huyu ndiye mrithi. Njooni tumuue, ili tuchukue urithi wake.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:38
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati wa matunda ulipokuwa karibu, akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wajiokee matunda yake.


Baadae akamtuma mwanawe kwao, akinena, Mwana wangu watamjali.


Wakamkamata, wakamtupa uje ya shamba la mizabibu, wakamwua.


Lakini wale wakulima, walipomwona, wakafanya shauri wao kwa wao, wakinena, Huyu ndiye mrithi; na tumwue bassi, urithi upate kuwa wetu.


mwisho wa siku bizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi yote, kwa yeye aliufanya ulimwengu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo