Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Wakati wa matunda ulipokuwa karibu, akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wajiokee matunda yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:34
20 Marejeleo ya Msalaba  

Wale wakulima wakawakamata watumishi wake, huyu wakampiga, na mwingine wakamwua, na mwingine wakampiga mawe.


Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


Bassi atakapokuja yule bwana wa mizabibu, atawatendea nini wale wakulima?


Wakamwambia, Atawaangamiza wabaya wale; nae atawapangisha mizabibu wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.


Akawatuma watumishi wake wawaite walioalikwa kuja arusini: nao hawakutaka kuja.


AKAANZA kusema nao kwa mifano. Mtu alipanda mizabibu, akazungusha nzio, akachimbia shimo lake shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu.


Bassi atafanyani yule Bwana wa mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa watu wengine.


Akaanza kuwaambia watu mfano huu: Mtu alipanda mizabibu, akapangisha wakulima, akaenda inchi nyingine kwa muda wa siku nyingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo