Mathayo 21:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192134 Wakati wa matunda ulipokuwa karibu, akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wajiokee matunda yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma watumishi wake kwa hao wapangaji ili kukusanya matunda yake. Tazama sura |