Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Akamwendea yule wa pili, akasema vilevile. Nae akajibu akasema, Nakwenda, Bwana: asiende.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, ‘Naam baba!’ Lakini hakuenda kazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, ‘Naam baba!’ Lakini hakuenda kazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, ‘Naam baba!’ Lakini hakuenda kazini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 “Kisha yule baba akamwendea yule mwanawe mwingine, akamwambia vilevile. Yeye akajibu, ‘Nitaenda, bwana,’ lakini hakuenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 “Kisha yule baba akamwendea yule mwanawe mwingine akamwambia vilevile. Yeye akajibu, ‘Nitakwenda, bwana,’ lakini hakwenda.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu akasema, Sitaki; baadae akatubu, akaenda.


Katika hawa wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya baba yake? Wakamwambia, Yule wa kwanza. Yesu akawaambia, Amin, nawaambieni, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.


bassi, yo yote watakayowaambieni myashike; yashikeni na kuyatenda: lakini kwa mfano wa matendo yao, msitende: maana hunena wala hawatendi.


Wanakiri kwamha wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana, ni wenye machukizo, maasi, na kwa killa tendo jema hawafai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo