Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Na kama mtu akiwaambieni neno, semeni, Bwana ana haja nao; na marra moja atawapeleka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, ‘Bwana anawahitaji,’ naye atawaachieni mara.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, ‘Bwana anawahitaji,’ naye atawaachieni mara.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, ‘Bwana anawahitaji,’ naye atawaachieni mara.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara moja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kama mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:3
18 Marejeleo ya Msalaba  

akiwaambia, Enendeni zenu hatta kijiji kile kinachowakabili, na marra mtaona punda amefungwa, na mwana punda pamoja nae: mfungueni mkaniletee.


Haya yote yamepata kuwa, illi litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya killa mwenye mwili, illi yote uliyompa awape uzima wa milele.


Baba ampenda Mwana, amempa vyote mikononi mwake.


wala hatumikiwi kwa mikono ya wana Adamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwa maana ndiye anaewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.


Lakini Mungu ashukuriwe atiae bidii ile ile kwa ajili yenu katika moyo wa Tito.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yetu, alipokuwa tajiri, illi ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.


Killa kutoa kwenia, na killa kitolewacho kilicho kamili, chatoka juu, chashuka kwa Baba wa mianga, kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo