Mathayo 21:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Na kama mtu akiwaambieni neno, semeni, Bwana ana haja nao; na marra moja atawapeleka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, ‘Bwana anawahitaji,’ naye atawaachieni mara.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, ‘Bwana anawahitaji,’ naye atawaachieni mara.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, ‘Bwana anawahitaji,’ naye atawaachieni mara.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara moja.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kama mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.” Tazama sura |