Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Akajibu akasema, Sitaki; baadae akatubu, akaenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yule kijana akamwambia, ‘Sitaki!’ Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yule kijana akamwambia, ‘Sitaki!’ Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yule kijana akamwambia, ‘Sitaki!’ Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitaenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitakwenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:29
19 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na watoto wawili; akamwendea yule wa kwanza, akasema, Mwanangu, leo enenda kufanya kazi katika shamba langu la mizabibu.


Akamwendea yule wa pili, akasema vilevile. Nae akajibu akasema, Nakwenda, Bwana: asiende.


Katika hawa wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya baba yake? Wakamwambia, Yule wa kwanza. Yesu akawaambia, Amin, nawaambieni, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.


hali kwanza niliwakhubiri wale wa Dameski na Yerusalemi, na katika inchi yote ya Yahudi, na watu wa mataifa, watubu wakamwelekee Mungu, wakiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwao.


Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hizi; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa kuwa na haki katika jina la Bwana Yesu na katika Roho ya Mungu wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo