Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Wanafunzi wake walipoona, wakastaajabu, wakinena, Umenyaukaje mtini marra moja?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake illa majani tu; akauambia, Yasipatikane matunda kwako tangu leo hatta milele. Mtini ukauyauka marra moja.


Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambieni, Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hatta mkiuambia mlima huu, Ngʼoka, ukatupwe baharini, itatendeka.


Yesu aliposikia haya, akastaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa kama hii, hatta katika Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo