Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:17
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kizazi kibaya na cha zina chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya nabii Yunus. Akawaacha, akaenda zake.


Nae Yesu, alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simon mwenye ukoma,


HATTA walipokaribia Yerusalemi karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, akawatuma wawili katilia wanafunzi wake, akawaambia,


Yesu akaingia Yerusalemi hatta ndani ya hekalu: na alipokwisha kutazama yote pande zote, kwa kuwa ni wakati wa jioni, akatoka akaenda Bethania pamoja na wathenashara.


Na ilipokuwa jioni alitoka mjini.


Nae akiwapo Bethania, nyumbani mwa Simon mwenye ukoma, ameketi chakulani, akaja mwanamke mwenye kibweta cha alabastro cha marhamu ya hali udi, safi, ya thamani nyingi; akakivunja kibweta cha alabastro akaimimina kichwani pake.


Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Watu wengi sana wakamfuata toka Galilaya, na toka Yahudi, na toka Yerusalemi,


Nao walipokuwa wakienenda, akaingia katika kijiji kimoja; na mwanamke mmoja, jina lake Martha, akamkaribisha nyumbani mwake.


Hatta alipokaribia Bethfage na Bethania karibu ya mlima wa mizeituni, akatuma wawili katika wanafunzi wake, akisema,


Akawaongoza nje mpaka Bethania: akainua mikono yake, akawabariki.


BASSI mtu mmoja alikuwa hawezi, Lazaro wa Bethania, mtu wa mji wa Mariamu na Martha dada yake.


Na Bethania ilikuwa karibu ya Yerusalemi, kadiri ya stadio khamstashara;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo