Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Vipofu na viwete wakamwendea hekaluni, akawaponya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Vipofu na vilema wengine walimwendea huko hekaluni, naye Yesu akawaponya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Vipofu na vilema wengine walimwendea huko hekaluni, naye Yesu akawaponya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Vipofu na vilema wengine walimwendea huko hekaluni, naye Yesu akawaponya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini makuhani wakuu na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya, na watoto wakipaaza sauti zao hekaluni, wakinena, Utuokoe sasa, mwana wa Daud! wakakasirika,


Yesu akazunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika sunagogi zao, na kuikhubiri injili ya ufalme, na kuponya ugonjwa na udhaifu wa killi namna katika watu.


Na Yesu alikuwa akizunguka katika miji yote na vijiji, akifundisha katika masunagogi yao, akikhubiri injili ya ufalme, akiponya magonjwa yote na dhaifu zote katika watu.


khabari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na uguvu: nae akatembea huko na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Shetani; kwa maana Mungu alikuwa pamoja nae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo