Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 21:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 HATTA walipokaribia Yerusalemi, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu akatuma wanafunzi wawili,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni. Ndipo Isa akawatuma wanafunzi wake wawili,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage katika Mlima wa Mizeituni. Ndipo Isa akawatuma wanafunzi wake wawili,

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; marra macho yao yakapata kuona, wakamfuata.


akiwaambia, Enendeni zenu hatta kijiji kile kinachowakabili, na marra mtaona punda amefungwa, na mwana punda pamoja nae: mfungueni mkaniletee.


Hatta alipokuwa ameketi katika mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea kwa faragha, wakinena, Tuambie, haya yatakuwa lini? Na nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia?


Walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda mlima wa Mizeituni.


Hatta alipokuwa ameketi katika mlima wa mizeituni, kuelekea hekalu, Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea wakamwuliza kwa faragha, Tuambie, haya yatakuwa lini?


Wakiisha kuimba wakatoka kwenda mlima wa mizeituni.


Bassi killa siku alikuwa akifundisha hekaluni wakati wa mchana; na wakati wa usiku akitoka, na kulala katika mlima uitwao mlima wa mizeituni.


Akatoka, akaenda zake hatta mlima wa mizeituni, kama ilivyo kawaida yake: wanafunzi wake wakamfuata.


lakini Yesu akaenda mlima wa mizeituni.


Kiisha wakarudi kwenda Yerusalemi kutoka mlima ulioitwa wa mizeituni, ulio karibu na Yerusalemi, wapata mwendo wa sabato.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo