Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Hatta mnamo saa edashara akatoka, akakuta wengine wakisimama wasiokuwa na kazi, akawaambia, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, ‘Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, ‘Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, ‘Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mnamo saa kumi na moja akatoka tena akawakuta wengine bado wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya kazi?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mnamo saa kumi na moja akatoka tena akawakuta wengine bado wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya kazi?’

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vilevile.


Wakamwambia, Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Akawaambia, Enendeni na ninyi katika shamba la mizabibu, na iliyo haki mtapata.


Walipokuja wale wa saa edashara, wakapokea killa mtu dinari.


Yanipasa kuzifanya kazi zake aliyenipeleka maadam ni mchana: usiku waja, asipoweza mtu kufanya kazi.


Kwa maana Waathene na wageni waliokaa huko walikuwa hawana faragha kwa neno lo lote illa kutoa khabari na kusikiliza khabari za jambo jipya.


illi msiwe wavivu, hali wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imaui na uvumilivu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo