Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vilevile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Hivyo basi wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kwa hiyo wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

na hawo nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo liaki nitakupeni. Wakaenda.


Hatta mnamo saa edashara akatoka, akakuta wengine wakisimama wasiokuwa na kazi, akawaambia, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?


Tangu saa sita palikuwa giza juu ya inchi yote hatta saa tissa.


Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Ilikuwa karibu na saa kumi.


Yesu akajibu, Saa za mchana je si thenashara? Mtu akienda mchana hajikwai, kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.


Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo. Bassi Yesu, kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Ilikuwa yapata saa sita.


Akaona katika njozi wazi wazi, panapo saa tissa ya mchana, malaika wa Mungu akimjia na kumwambia, Kornelio!


Hatta siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, panapo saa sita ya mchana:


BASSI Petro na Yohana walikuwa wakipanda pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tissa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo