Mathayo 20:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 na hawo nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo liaki nitakupeni. Wakaenda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’ Tazama sura |