Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 na hawo nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo liaki nitakupeni. Wakaenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka muamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;


Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vilevile.


Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko akaona mtu amekeli fordhani, aitwae Mattayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hizi; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa kuwa na haki katika jina la Bwana Yesu na katika Roho ya Mungu wetu.


NINYI bwana, wapeni watumwa wenu yaliyo haki na ya adili, mkijua ya kuwa ninyi nanyi mna Bwana mbinguni.


Neno hili ni amini, na mambo hayo nataka uyanene kwa nguvu, illi wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Haya ni mazuri, tena yana faida kwa wana Adamu.


Kwa hiyo vifungeni viuno vya nia zenu, mwe na kiasi, kwa utimilifu mkiitumainia ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo