Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Akatoka muamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 “Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 “Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.


na hawo nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo liaki nitakupeni. Wakaenda.


Ikawa saa tatu wakamsulibi.


Bassi bwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limewapotea, wakawakamata Paolo na Sila, wakawakokota hatta sokoni mbele ya wakuu wa mji;


Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;


Na pamoja na hayo wajifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi, hujishughulisha na mambo ya wengine wakinena maneno yasiyowapasa.


illi msiwe wavivu, hali wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imaui na uvumilivu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo