Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Na wale kumi waliposikia, wakawakasirikia wale ndugu wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wawili.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Hakika mtakinywea kikombe changu, na mtabatizwa ubatizo nibatizwao mimi; lakini kuketi mkono wangu wa kuume na mkono wangu wa kushoto, sina amri niwapeni, bali watapewa waliowekewa tayari na Baba yangu.


Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwa wafalme wa Mataifa huwatawala, na wakuu wao huwatumikisha.


Lakini Yesu alipoona akachukiwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wachanga waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawo ufalme wa mbinguni ni wao.


Hatta wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.


Mkuu wa ile sunagogi akajibu, akiona hasira kwa sababu Yesu amemponya mtu siku ya sabato, akawaambia makutano, Kuna siku sita itupasapo kufauya kazi: katika hizo, bassi, njoni mponywe wala si katika siku ya sabato.


Upendo husubiri, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni,


Msitende neno lo lote kwa kushindana na kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, killa mtu na amhesabu mwenziwe kuwa hora kuliko nafsi yake;


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na magomvi mioyoni mwenu msijisifu, wala msiseme nwongo juu ya kweli.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu kama mshipi, mpate kukhudumiana; kwa sababu Mungu hushindana na wenye kiburi, huwapa wanyenyekevu neema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo