Mathayo 20:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo akamwendea pamoja na wanawe, akimsujudia, akimwomba neno. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kisha mama yao wana wa Zebedayo akamjia Isa pamoja na wanawe, naye akapiga magoti mbele yake, akamwomba Isa amfanyie jambo fulani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kisha mama yao wana wa Zebedayo akamjia Isa pamoja na wanawe, naye akapiga magoti mbele yake, akamwomba Isa amfanyie jambo fulani. Tazama sura |