Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Ndipo mama ya wana wa Zebedayo akamwendea pamoja na wanawe, akimsujudia, akimwomba neno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kisha mama yao wana wa Zebedayo akamjia Isa pamoja na wanawe, naye akapiga magoti mbele yake, akamwomba Isa amfanyie jambo fulani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kisha mama yao wana wa Zebedayo akamjia Isa pamoja na wanawe, naye akapiga magoti mbele yake, akamwomba Isa amfanyie jambo fulani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na majina ya mitume thenashara ni haya: Wa kwanza Simon aliyekwitwa Petro, na Andrea ndugu yake; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake;


Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Nae akaja akamsujudia, akinena. Bwana, nisaidie.


Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mama yake, wakaanguka wakasujudu; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tumi, dhahabu, uvumba, na manemane.


Miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo na Yose, na mama yao wana wa Zebedayo.


Nao walipomwona, wakamsujudia; lakini wengine waliona shaka.


Akaendelea mbele, akaona ndugu wengine wawili. Yakob wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake, walikuwa katika chombo pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao; akawaita.


Akaja mwenye ukoma akamsujudu, akinena, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; katika hawa alikuwa Mariamu Magdalene, na Mariamu mama wa Yakobo mdogo na wa Yose, na Salome:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo