Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Akapatana nao kuwalipa fedha denari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Akapatana nao kuwalipa fedha denari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Akapatana nao kuwalipa fedha denari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Baada ya kukubaliana na hao vibarua kuwalipa ujira wa dinari moja kwa siku, akawapeleka kwenye shamba lake la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Baada ya kukubaliana na hao vibarua kuwalipa ujira wa dinari moja kwa siku, akawapeleka kwenye shamba lake la mizabibu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:2
24 Marejeleo ya Msalaba  

Mtumishi yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyewiwa nae dinari mia; akamkamata, akamshika koo, akinena, Nilipe uwiwacho.


KWA maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba, aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu.


Nae akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?


Akatoka muamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;


Walipokuja wale wa saa edashara, wakapokea killa mtu dinari.


Nionyesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.


Ndipo akawaambia wanafunzi wake, Mavuno ni makubwa, bali watenda kazi wachache.


Nae, akijua unafiki wao, akawaambia, Mbona mmenijaribu? nileteeni dinari niione. Wakaleta.


Kwa maani atakuwa mkuu mbele ya Mungu, hatakunywa divai wala kileo: nae atajazwa Roho Mtakatifu hatta tangu tumbo la mama yake.


Hatta assubuhi yake akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba, akasema, Mwuguze: na cho chote utakachogharimia zaidi, nirudipo, nitakulipa.


Nionyesheni dinari: ina sura ya nani? ina anwaui ya nani? Wakasema, ya Kaisari.


na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, yawezayo kukuhekimisha hatta upate wokofu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.


Nikasikia sauti kati kati ya nyama wane wenye uhayi, ikisema, Kibaba cha nganu kwa nussu rupia, na vibaba vitatu vya shairi kwa nussu rupia, wala usiyadhuru mafuta na mvinyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo