Mathayo 20:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza wa mwisho: maana waitwao wengi, hali wateule wachache. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Yesu akamaliza kwa kusema, “Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Yesu akamaliza kwa kusema, “Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Yesu akamaliza kwa kusema, “Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 “Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.” Tazama sura |