Mathayo 20:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu nipendavyo? Au jicho lako ni ovn kwa sababu ya kuwa mimi mwema? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Je, sina haki ya kufanya kile nitakacho na mali yangu mwenyewe? Au unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Je, sina haki yangu kufanya kile nitakacho na mali yangu mwenyewe? Au unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’ Tazama sura |