Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Chukua iliyo yako, uende zako; napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama nilivyokupa wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama nilivyokupa wewe.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu nipendavyo? Au jicho lako ni ovn kwa sababu ya kuwa mimi mwema?


Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana: maana hujiumbua nyuso zao, illi waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao.


Bassi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika sunagogi na njiani, illi watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao.


Bali wewe usalipo, ingia chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele ya Baba yako aliye kwa siri: na Baba yako aonae kwa siri atakujazi kwa dhahiri.


Nae akamwambia, Mwanangu, wewe siku zote u pamoja nami, na vitu vyote nilivyo navyo ni vyako.


Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kuwa ulipokea mema yako katika maisha yako, na Lazaro kadhalika mabaya; lakini sasa yeye yupo hapa anafarajiwa, nawe unanmizwa.


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya killa mwenye mwili, illi yote uliyompa awape uzima wa milele.


Twajua ya kuwa mambo yote yasemwayo na torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, illi killa kinywa kifumbwe, ulimwengu wote ukapasiwe na hukumu ya Mungu:


Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na killa mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Illi upewe haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo