Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Nae akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 “Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa dinari moja?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 “Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa dinari moja?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 “Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa dinari moja?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “Yule mwenye shamba akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sijakudhulumu. Je, hukukubaliana nami kwa ujira wa kawaida wa dinari moja?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “Yule mwenye shamba akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sijakudhulumu. Je, hukukubaliana nami kwa ujira wa kawaida wa dinari moja?

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Chukua iliyo yako, uende zako; napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.


Na alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.


Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe huna vazi la arusi? Akatekewa.


Yesu akamwambia, Rafiki, umejia nini? Wakaenda, wakanyosha mikono yao wakamkamata Yesu.


La! si hivyo, ee bin-Adamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Ya nini nkanifanza hivi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo