Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 20:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Wakiisha kupokea, wakamnungʼunikia mwenye nyumba,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnungunikia yule bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnungunikia yule bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale wa kwanza walipokuja, wakadhani watapokea zaidi; na wao pia wakapokea killa mtu dinari.


wakinena, Hawa wa mwisho wametenda kazi saa moja tu, nawe umewasawazisha na sisi tuliostahimili taabu na hari za mchana.


maana marhamu hii ingalikuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi wakapewa maskini. Wakamnungʼunikia sana yule mwanamke.


Mafarisayo na wandishi wakanungʼunika, wakasema, Huyu hukaribisha wenye dhambi, hula pamoja nao.


Hatta watu walipoona wakanungʼunika wote, wakisema, ya kama, Ameingia akae kwa mtu mwenye dhambi.


Mafarisayo na waandishi wao wakawanungʼunikia wanafunzi wake, wakisema, Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?


Bassi Wayahudi wakamnungʼunikia, kwa sababu alisema, Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.


Yesu akajua nafsini mwake ya kuwa wanafunzi wake wanaliumigʼunikia neno hili, akawaambia, Neno hili linawachukiza?


Bali Wayahudi, walipowaona makutano, wakajaa wivu, wakayabisha maneno yaliyonenwa na Paolo, wakibisha na kutukana.


wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa; illi watimize dhambi zao siku zote; lakini hasira imewafikia hatta mwisho.


Watu hawa ni wenye kunungʼunika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno ya kiburi makuu mno, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo