Mathayo 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Mfalme Herode aliposikia haya, akafadhaika, na Yerusalemi pia pamoja nae. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu. Tazama sura |