Mathayo 2:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Hatta alipofariki Herode, malaika wa Bwana akamtokea Yusuf katika ndoto huko Misri, akinena, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Baada ya Herode kufa, malaika wa Mwenyezi Mungu akamtokea Yusufu katika ndoto huko Misri Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Baada ya Herode kufa, malaika wa Mwenyezi Mungu akamtokea Yusufu katika ndoto huko Misri Tazama sura |