Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 2:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 2:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

akawa huko mpaka alipokufa Herode: illi litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nalimwita mwaua wangu.


Bassi Herode, akiona ya kuwa amedhihakiwa na majusi, akaghadhabika sana, akatuma watu kuwaua watoto wote wanawaume waliokuwa Bethlehemu na viungani mwake mwote, tangu wa miaka miwili na waliopungua, kwa muda aliouhakiki kwa majusi.


Sauti ilisikiwa Rama, Kilio, na kulalama, na maombolezo, Rahel akiwalilia watoto wake, Asikubali kufarijiwa, maana hawako.


Ndipo likatimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema, Wakavitwaa vipande thelathini vya fedha, kima chake aliyetiwa kima, ambae watu miongoni mwa wana wa Israeli walimtia kima;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo