Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 akasema. Kwa sababu hii, mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe; na hawo wawili watakuwa mwili mmoja?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Bassi alivyoviunganisha, Mungu, mwana Adamu asivitenganishe.


Pendo niwe nalo pasipo unafiki; mkichukia lililo ovu, mkiambatana na lililo jema.


Hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Lakini kwa sababu ya mambo ya zina killa mtu na awe na mke wake mwenyewe, na killa mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.


Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mume wake; na vivyo hivyo mume hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke wake.


Kwa sababu hiyo mtu atamwacha haha yake na mama yake, ataamhatana na mkewe; nao wawili watakuwa mwili mmoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo