Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 19:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je, ni halali mtu kumwacha mkewe kwa killa sababu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

WAKAMJIA Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni.


Mmoja wao, mwana sharia, akamwuliza, akimjaribu; akinena,


Mafa risayo wakamwendea, wakamwuliza, Ni balali mtu kumwaeha mkewe? wakimjaribu.


Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodiano, illi wamnase kwa maneno.


Nae, akijua unafiki wao, akawaambia, Mbona mmenijaribu? nileteeni dinari niione. Wakaleta.


Wakasema neno hili wakimjaribu wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika inchi.


Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza, wala si mimi, illa Bwana, mke asiachane na mumewe;


hapo baba zenu waliponijaribu, wakanipima, wakaona matendo yangu miaka arubaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo