Mathayo 19:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Wanafunzi wake waliposikia, wakashangaa sana, wakinena, Nani bassi awezae kuokoka? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi, awezaye kuokoka?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi, awezaye kuokoka?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa sana, wakamwuliza, “Ni nani basi, awezaye kuokoka?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Wanafunzi wake waliposikia haya, walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Wanafunzi wake waliposikia haya, walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?” Tazama sura |